Latest

04:12 AM MAKALA

NA HII SASA NI ZAIDI YA DARASA:Ajuza amfundisha adabu jambazi.
NA HII SASA NI ZAIDI YA DARASA:Ajuza amfundisha adabu jambazi.

Ajuza mwenye umri wa miaka 80 alimpiga mwizi usoni mwake nchini Uingereza na kumuogopesha kiasi cha kutoroka. Mwanamke huyo, alikuwa anamtembeza Mbwa wake katika mtaa wa Whitstable, Kent, wakati ja…

Read more »
16 Sep 2014

NA HII SASA NI ZAIDI YA DARASA:SAMAKI AFANYIWA OPARESHEN
NA HII SASA NI ZAIDI YA DARASA:SAMAKI AFANYIWA OPARESHEN

Mmiliki wa 'George' alitaka kuona ikiwa Samaki huyo atapona kwa kufanyiwa upasuaji au la.   Samaki aina ya Goldfish, anaendelea kupata nafuu baada ya kufanyiwa upasuaji kutolewa uvimbe kwenye ubongo …

Read more »
16 Sep 2014

WANAJESHI 12 KUNYONGWA NIGERIA

 Wanajeshi 12 wahukumiwa kifo kwa kukiuka kanuni za jeshi. Wanajeshi kumi na wawili nchini Nigeria wamepewa adhabu ya kifo kwa uasi pamoja na jaribio la mauji. Hii ni baada ya kumfyatuliwa bunduki …

Read more »
16 Sep 2014

Baba aua watoto watano-Marekani
Baba aua watoto watano-Marekani

Timothy baba wa watoto watano,aliowatoa uhai.  Mwanamume mmoja raia wa Marekani anashukiwa kuwaua watoto wake watano na kuwatupa katika jimbo jingine, hii ni kwa muujibu wa polisi nchini humo. Tim…

Read more »
10 Sep 2014

RAIS GOODLUCK JONATHAN AAGIZA MABANGO YANG'OLEWE

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameamuru mabango ya hekeheka za uchaguzi yenye nembo ya kauli mbiu ya 'Bring Back Jonathan 2015' yang'olewe mara moja. Mabango hayo yamelaaniwa vikali kwenye mita…

Read more »
10 Sep 2014

MWANAFUNZI MGONJWA KUFANYA MTIHANI WA DARASA SA SABA AKIWA KITANDANI
MWANAFUNZI MGONJWA KUFANYA MTIHANI WA DARASA SA SABA AKIWA KITANDANI

Wakati wanafunzi wa shule za msingi wanatarajia kuanza kufanya mtihani wa kuhitimu elimu hiyo kesho nchini kote; Ebeneza Mtivike  wa shule ya msingi Ikelu iliyoko katika Halmashauri ya Mji Makambako …

Read more »
09 Sep 2014

ALIYETAKA KUMZIKA MWANAE AKIWA HAI AKAMATWA NA POLISI
ALIYETAKA KUMZIKA MWANAE AKIWA HAI AKAMATWA NA POLISI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma. ALIYETAKA kumzika mtoto wake akiwa hai baada ya ng’ombe wao aliyekuwa akimchunga kuliwa na mamba alipopelekwa kunywa maji katika Mto Ruvuma, anashikiliwa na Polisi b…

Read more »
09 Sep 2014

UHABA WA CHAKULA SUDANI KUSINI

 Wanawake wanaponda na kusaga mbegu za maua ya Lily ili kuzipik. Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza ametembelea kijiji kimoja nchini Sudan Kusini ambapo watu wamelazimika kula mbegu na majani kutoka…

Read more »
09 Sep 2014

Mtoto wa Obasanjo apigwa risasi Nigeria.
Mtoto wa Obasanjo apigwa risasi Nigeria.

                               Wanamgambo wa Boko Haram.  Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Nigeria, Olesugun Obasanjo amejeruhiwa kwa risasi wakati wa mapambano na wanamgambo wa kiislamu Boko Haram. Lute…

Read more »
09 Sep 2014

WAFANYAKAZI WA KILOMBERO NORTH SAFARIS WAWABUGUDHI WAGENI KATIKA ENEO LA MWEKEZAJI.

 Kaimu Mkurugenzi wa Mkwawa Hunting Safaris, Mohamed Huwel (wa pili kulia) akieleza jinsi kampuni yake ilivyosikitishwa na tukio la wageni wake kuvamiwa na wafanyakazi wa Kilombero North Safaris.  …

Read more »
07 Sep 2014

ASKOFU MTETEMELA ASEMA HANA SHIDA KAMA NCHI ITAPATA RAIS KIJANA.
ASKOFU MTETEMELA ASEMA HANA SHIDA KAMA NCHI ITAPATA RAIS KIJANA.

ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela amesema haoni shida nchi ikipata rais kijana wakati akizungumzia sifa za rais ajaye. Kati ya wagombea lukuki walioonesha nia ya k…

Read more »
07 Sep 2014

WATU 200 WAUAWA NA MAFURIKO INDIA

 Mafuriko katika eneo la Kashmir. Mafuriko yamewaua zaidi ya watu 200 nchini India na Pakistan huku watabiri wa hali ya hewa wakisema kuwa mvua zaidi inatarajiwa kunyesha. Maje…

Read more »
07 Sep 2014

Misri:Viongozi wakataza unenguaji viuno

 Densi ya kunengua viuno na tumbo ya 'Belly Dance nchini Misri. Bodi ya kidini ya misri, imetoa fatwa kukataza uonyeshaji wa kipindi kilichoanzishwa kwenye televesheni nchini humo kuonyesha densi y…

Read more »
04 Sep 2014

Mwandishi mwingine
Mwandishi mwingine "achinjwa"

Mwandishi aliyechinjwa na IS Steven Sotloff. Wapiganaji wa dola ya Kiislam IS wamesambaza picha za video katika mitandao kwa lengo la kuonyesha kuchinjwa kwa mwandishi wa habari raia Marekani Steve…

Read more »
03 Sep 2014

Obama kuongeza vikosi Iraq
Obama kuongeza vikosi Iraq

                               Rais Barack Obama. Rais Barack Obama wa Marekani ameidhinisha kupelekwa vikosi vya wanajeshi wapatao 350 kwa lengo la kuwalinda wanadiplomasia na wafanyakazi raia wa …

Read more »
03 Sep 2014
 
Top