Amani Sanitarium clinic wenye makao yake makuu jijini Dar es salaam maeneo ya tangi bovu Mbezi, wanatibu magonjwa sugu ambayo yanawasumbua watu zaidi ya 300 ikiwa ni pamoja na ushauri wa kiafya.
Kwa sasa wamefungua tawi lao jijini Mbeya na Iringa maeneo ya Mwangata manispaa ya Iringa wanapatikana kwa nambari 0767471325-Mbeya,0769 471325, 0755913397, 0713022710-Iringa, 0767913397-Dodoma





Post a Comment

 
Top